Simu za Android Bongo zenye NFC Reader/Writer

Mtangoo

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
6,165
Reaction score
5,621
Sina Uhakika kama kuna Android Phone yenye NFC Capability but Simu gani zinazopatikana kiurahisi Bongo zina NFC card reader (or writer) na estimate cost yake?
 
Almost simu zote za reputable brand zinazo, flagship za Samsung kuanzia galaxy s3 zinazo.

Na unaposema nfc card reader unamaanisha nini?
 
swali zur kaka maana hata yangu ina NFC ila cjui kazi yake, kwa anayefaham atujuze ili na ss tuitumie
 
Sina Uhakika kama kuna Android Phone yenye NFC Capability but Simu gani zinazopatikana kiurahisi Bongo zina NFC card reader (or writer) na estimate cost yake?

Android phones nyingi sana zina NFC, toka nimetumia Android kuanzia 2.3 hadi leo 6.0 nishawahi kukutana na moja tu isiyo na NFC. Kuhusu reading and writing NFC tags kuna app play store inaitwa NFC tool inafanya vyote hivyo.
 
swali zur kaka maana hata yangu ina NFC ila cjui kazi yake, kwa anayefaham atujuze ili na ss tuitumie

nfc ni technology kama bluetooth ila utofauti wake ni kwamba haihitaji kupair, ukigusanisha/kueka karibu vitu vya nfc automatic vinapair hivyo unaweza itumia kwenye mambo mengi kama kulipia bidhaa (apple/samsung pay), kufanya simu kama ufunguo wa mlango (uwe na kitasa cha nfc),nk
 

Kaka umenifumbua uso ulikuwa usingizin tena usingizi mzito kabisa naomba kama kuna la ziada nipolomoshee hizi nondo- kwa sim yangu ya sasa haina hii kitu ila nimeagiza Huawei P8 Lite sijui nitakuta hii kitu humo
 
Almost simu zote za reputable brand zinazo, flagship za Samsung kuanzia galaxy s3 zinazo.

Na unaposema nfc card reader unamaanisha nini?
Thanks.
Nina maana ina uwezo wa kusoma kutoka ktk NFC Device/Card
Writer In uwezo wa kuandika ktk Card husika (si rahisi kuwepo kwenye simu ila nimeweka in case ipo ambayo sina taarifa zake)

Unaweza kunisaidia kwa cheapest brand zenye NFC reading capabilities ambazo zinapatikana Tanzania
 
Kaka umenifumbua uso ulikuwa usingizin tena usingizi mzito kabisa naomba kama kuna la ziada nipolomoshee hizi nondo- kwa sim yangu ya sasa haina hii kitu ila nimeagiza Huawei P8 Lite sijui nitakuta hii kitu humo
yap p8 lite ina NFC unaweza kuhakikisha hapa

Huawei P8lite - Full phone specifications

ukishuka chini sehemu ya communication utaiona NFC ipo pamoja na bluettoh, fm radio nk



kwa faida ya wengi kaka endelea kutuelekeza

kuijua zaidi kiurefu ipo wikipedia isome
https://en.wikipedia.org/wiki/Near_field_communication

kama kuna ambacho hutaelewa utauliza
 

samsung
-samsung galaxy core prime
-samsung galaxy s3 mini i8190
-samsung galaxy j1 4g (ina 4g ya kawaida haina)
-samsung galaxy ace 3
-samsung galaxy advance i9070

sony
-sony xperia M
-sony xperia L
-sony xperia E 4g

Huawei
huawei ascend g510
huawei ascend g600
huawei ascend y200

LG
lg optimus L7
lg optimus l5
lg optimus L fino

zote hizi zinapatikana 300,000 kushuka chini.
 
samsung
sony

Huawei

LG

zote hizi zinapatikana 300,000 kushuka chini.

Ahsante. Naomba nikusumbue tena. Duka gani una recommend kwa simu maana yapo mengi sana kwa Bongo!
 
Vp ya kwangu ni garaxxy s5 mini vp inayo mkuu au haina nisaidie!
Install NFC app yoyote from Playstore ikiweza kustart bila error wala warning ujue ipo.
Hata hivyo kwa Tz bado NFC sio killer feature. So unaweza kuipotezea tu unless una NFC equipment unahitaji kuitumia huko!
 
Android phones nyingi sana zina NFC, toka nimetumia Android kuanzia 2.3 hadi leo 6.0 nishawahi kukutana na moja tu isiyo na NFC. Kuhusu reading and writing NFC tags kuna app play store inaitwa NFC tool inafanya vyote hivyo.
Najua hayo. Nilihatji kujua list ya Simu zenye NFC capabilities zilizopo Bongo na bei zake. Sio mjuzi sana wa mambo ya bei na availability yake Tz (sina mpango wa kuagiza nje)
 
Tecno ptm Zmin inafaa, halafu NFC mim bado nimelala hebu toleeni ufafanuzi rahisi kabisa ili nIamke
 
Na tecno A je, HTC DESIRE 816 JE, INAFAA HII MAMBO
 
Yangu imeleta error hii..
 

Attachments

  • 1447176824521.jpg
    5.9 KB · Views: 169
Ahsante. Naomba nikusumbue tena. Duka gani una recommend kwa simu maana yapo mengi sana kwa Bongo!

uhakika zaidi ni kwenda kwa authorised dealers hawa japo bei yao ipo juu kidogo, utapata warranty na uhakika wa bidhaa. mfano samsung wapo kkoo kamata (msimbazi mwisho kama unaenda kurasini, wapo jmall mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…