pwilo JF-Expert Member May 27, 2015 10,098 12,473 Nov 27, 2016 #1 Wadau habari zenu , Kwa mda mrefu sasa simu yangu imekuwa na tatizo la video kutotoa sauti au kutoonyesha kabisa nikiipost Instagram Lakini uki play kwenye gallery inakubali tatizo linakuja Niki appload Instagram anaejua anisaidie cc CHIEF MKWAWA
Wadau habari zenu , Kwa mda mrefu sasa simu yangu imekuwa na tatizo la video kutotoa sauti au kutoonyesha kabisa nikiipost Instagram Lakini uki play kwenye gallery inakubali tatizo linakuja Niki appload Instagram anaejua anisaidie cc CHIEF MKWAWA
G gibasisi JF-Expert Member Jun 13, 2015 593 626 Nov 27, 2016 #2 Chief mkwawa alishaonya kutaja jina lake, ukimtaja tu hupati msaada toka kwake
willy ze great JF-Expert Member Apr 30, 2013 1,026 1,179 Nov 27, 2016 #3 Unatumia simu gani?? Mara nying lowend smartphone 4.4 kurudi chini zinasumbua insta kupost video
pwilo JF-Expert Member May 27, 2015 10,098 12,473 Nov 28, 2016 Thread starter #4 gibasisi said: Chief mkwawa alishaonya kutaja jina lake, ukimtaja tu hupati msaada toka kwake Click to expand... Kwa nn mkuu hayo masharti yameanza ln
gibasisi said: Chief mkwawa alishaonya kutaja jina lake, ukimtaja tu hupati msaada toka kwake Click to expand... Kwa nn mkuu hayo masharti yameanza ln
pwilo JF-Expert Member May 27, 2015 10,098 12,473 Nov 28, 2016 Thread starter #5 willy ze great said: Unatumia simu gani?? Mara nying lowend smartphone 4.4 kurudi chini zinasumbua insta kupost video Click to expand... Itakuwa kweli hi ni 4.4.2
willy ze great said: Unatumia simu gani?? Mara nying lowend smartphone 4.4 kurudi chini zinasumbua insta kupost video Click to expand... Itakuwa kweli hi ni 4.4.2
James Thobias Member Nov 3, 2016 10 3 Nov 29, 2016 #6 Utakuwa una off sou d ndo maana uki upload sauti haisikiki.
asaprichie JF-Expert Member Nov 29, 2014 292 227 Nov 29, 2016 #7 simu yko version yke ya zamani....ila sauti huickii ww tu rfk zko watakaoiona iyo vdeo wataisikia....we post tymu
simu yko version yke ya zamani....ila sauti huickii ww tu rfk zko watakaoiona iyo vdeo wataisikia....we post tymu