incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,530
- 4,274
Wakuu naamin mnaweza kunisaidia natumia simu ya Samsam J1 ila kuanzia jana kuna tatzo limetokea niktuma msg watsup haziend wala kupokea sms watsup pia upande wa Opera min haifunguki kabisa ina'load mda mrefu ila haifungui leo nilishauliwa kui'restore nika i'restore na nikadownload app mpya ya watsup nikaanza kuitumia kama kawaida nikapokea sms nyng tu ambazo zlikuwa hazjanifkia mda tangu sim ilipogoma kupokea notification had ilipozima chaji ila baada ya kuitoa chaj naona tena bado imerudia tatzo la awali ila insta naingia kama kawaida na jamii forum naingia ila tatzo saiz notification za jamii forum hazionekani kama ilivyokuwa awali nilikuwa najulishwa activity za jamii forum hata kama sipo online jf ila data zikiwa on nilikuwa napata notification ila kwa sasa sipati wakuu naombeni msaada wenu

