Itakua ya njeNina samsung galax a13 haisomi lain ya ttcl na airtel msaada kwa mwenye ujuzi na hili
Tatizo kama hilo huwa linatokana na ku update simu kila mara pia linatokana na virus kushambulia network file. Hii hupelekea simu kuanza kuleta shida mbalimbali za mtandao ikiwa ni pamoja na ceureler networks na internet.Nina samsung galax a13 haisomi lain ya ttcl na airtel msaada kwa mwenye ujuzi na hili
Inasoma line gani? Umejaribu kuweka Roaming on?Nina samsung galax a13 haisomi lain ya ttcl na airtel msaada kwa mwenye ujuzi na hili
Jaribu kuweka Roaming sometime TTCL kukiwa hamna network wana Roam Tigo.Inasoma tigo halotel na voda tuuu