Simu ya Tecno j8 inauzwa

Simu ya Tecno j8 inauzwa

ulove

Senior Member
Joined
Jul 13, 2014
Posts
149
Reaction score
35
IPO katika hali nzuri, ina camera nzuri ya 13mp,simcard 2,16gb za internal memory,ram ya 2gb, bei ni 230,000/ haina tatizo lolote 0625625463
133c42a29d95989630c48ad986aa3e2b.jpg
42bf5820272e4201a15baa3be1f6ee86.jpg
0ae944100a838de4d904172a4ea93b42.jpg
 
Hiyo bei kubwa kwa hali ya sasa...... na simu imeshatumiwa bila kujua ilifanyia uhalifu au nini..
Kwa sababu kwa sasa simu za gharama zikiibiwa watu wanafuatilia TCRA wanai track then wanaipata na aliyenunua anakamatwa wizi na anaisaidia serikali kumpata mwizi.
 
Hiyo bei kubwa kwa hali ya sasa...... na simu imeshatumiwa bila kujua ilifanyia uhalifu au nini..
Kwa sababu kwa sasa simu za gharama zikiibiwa watu wanafuatilia TCRA wanai track then wanaipata na aliyenunua anakamatwa wizi na anaisaidia serikali kumpata mwizi.
Umeambiwa hii Simu ni ya wizi
 
Kuna jamaa almuuzia rafiki yangu laki 2 mpya kabisa mi nikaogopa kununua mana najua zile ni 250k
Boom J8, imetumika wiki mbili tu boss, mi nna shida binafsi naiuza 280,000/= , Top 260,000/= haina uharibifu wala mchubuko..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom