Simu used kutoka Dubai na UK

Nunuaa tu zina GB 120
 
siku hizi hadi infinix used from dubai wanatupiga asee
 
Siku zote mke aliae achwa na mwenzako hafai kwa afya
 
Baadhi ya matatizo ya kawaida ni kutokukaa chaji, display kuwa na mistari, kuchemka joto, na kukosa spare, mazuri yake ni kamera kali, speed, mvuto na display tamu sana haya chagua mwenyewe
 
Hizi simu ni ghali sana zikiharibika,mafundi wengi hawaweki spea.
Zkna shida ya kuvilia rangi kwenye kiooo.ila ni nzuri ,mi ninayo ya gb 500.na mpaka sasa nimetimia gb 120.sasa najiona simu STD kwangu ni kuanzia gb 256.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…