SIMU UNATAFUTWA. IPHONE 6SPLUS

SIMU UNATAFUTWA. IPHONE 6SPLUS

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
155
Habari wapendw. Nipo Tanga mjini mtaa wa Kange nimeangusha simu yangu aina ya iphone 6splus ya silver ina kava la gold jana tarehe 26/01/2018 saa tano asubuh mtaa wa kange kasera. Ipo na icloud protection na tumejaribu ku track ila mpaka muda bado imezimwa hivyo Kama kuna yeyote aliyeiokota tafadhali piga namba zilizopo kwenye dispaly ya hio simu au nicheck inbox. Kitu kidogo cha shukran nitakupatia.
Asanteh.
 
NAMSHUKURU MUNGU NA PIA ASANTENI WOTE . NIMEFANIKIWA KUIPATA SIMU YANGU MUDA HUU.
 
Nimeitrack kwa kutumia icloud na imei . Simu nimeikuta ipo kwa fundi ndio Tanga mjini. Ila nashukuru Mungu nimeipat.
 
advertisement za muuza ma iphone wa Ilala
umeikuta iko kwa fundi halafu ikawaje, wakatubu wameiba wakakupa simu?
wacha kamba wewe
 
advertisement za muuza wa ma iphone wa Ilala
umeikuta iko kwa fundi halafu ikawaje, wakatubu wameiba wakakupa simu?
wacha kamba wewe
Mimi sijali utasemaje.... simu niliiangusha na sio kwamba mtu aliniibia...... na niliwachukua askari ninao wafahamu so nia yangu kubwa ilikuwa kuipata simu na sio kumuweka ndani alieiokota maana pia alieiokota amekuja akasema hakuna shida
 
Mimi sijali utasemaje.... simu niliiangusha na sio kwamba mtu aliniibia...... na niliwachukua askari ninao wafahamu so nia yangu kubwa ilikuwa kuipata simu na sio kumuweka ndani alieiokota maana pia alieiokota amekuja akasema hakuna shida

umesema umeitrack kwa kutumia "icloud na IMEA..." hebu nieleze za kiufundi ulizofanya toka kuanza kuitafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom