Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 590
- 415
Simu yangu haifuti sms. Kila nikidelete sms au thread yoyote haikubali, nisaidieni nifanyeje nifute zile zingine,
Simu yangu haifuti sms. Kila nikidelete sms au thread yoyote haikubali, nisaidieni nifanyeje nifute zile zingine,


setting ya simu,,,naomba kuuliza hv sms kujirudia kila uwashapo simu inaiingia sms hiyo hiyo yaan kila ukizima simu ukiiwasha sms zinajirudia zilezile.....je hapo tatzo nn?msaada plz
sawa kwahiyo solution ni ipi hapo?au nifanyeje kuondoa tatzo....msaada tafadharisetting ya simu,,,
unaweza kuwa simu ina setting ya kushow unread message when you power ON
Kivipi mkuu? Browser ipi hiyo nitumie na inatumikaje?use browser ...app ndo inashida
swala la kutofuta thread kwa app ya jamii forum au ulikuwa una shida gani?Kivipi mkuu? Browser ipi hiyo nitumie na inatumikaje?
Swali la msingi niliuliza ni vipi nitaweza kufuta sms au thread, yaani sms zote toka kwa namba moja, kwenye simu yangu aina ya Techno Y3+,ambayo kwa sasa kila nikifuta naziona tena baada ya muda mchache. Je unajua nifanyeje zisijitokeze tena kwani zinajaza simu? Asante.swala la kutofuta thread kwa app ya jamii forum au ulikuwa una shida gani?