Kweli dunia haipo fair, kuna mtu huku ameanzisha uzi afanye biashara gani na mtaji wa laki tatu. We unatafuta simu ya laki 6 na kesho kutwa inapotea kwenye daladala.
Kweli dunia haipo fair, kuna mtu huku ameanzisha uzi afanye biashara gani na mtaji wa laki tatu. We unatafuta simu ya laki 6 na kesho kutwa inapotea kwenye daladala.