Burton86jm
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 616
- 183
projector ya hio simu uliipenda? ipo galaxy beam 2.Nimetokea kupenda sana simu zenye projector lakini nataka kujua ni SAMSUNG tu ndio wanatoa hizo simu?? kama kuna kampuni jingine naomba kujua.Nimetumia SAMSUNG galaxy beam i8530 ila sikupenda specification zake ni ndogo.Nataka simu kubwa na yenye projector msaada.
projector ya hio simu uliipenda? ipo galaxy beam 2.
625 achana nayo unless unaipata chini ya laki moja ni simu ya zamani kidogo.Chief-Mkwawa naomba ushauri wako nataka kununua moja ya hizi lumia bila kujali RAM ila waweza nishauri nyingine kama ipo ambayo naweza nunua chini ya laki3, kuna Nokia Lumia 625 na Microsoft Lumia 550 pia kama kuna nyingine ya 4G waweza niwekea ila iwe ni Windows Phone
625 achana nayo unless unaipata chini ya laki moja ni simu ya zamani kidogo.
simu kama 640 lte, 735, 830 naona ni best kwa sasa kutokana na bei zake.
hio 550 pia sio mbaya mkuu sababu tayari ipo optimized na windows 10.
Chief-Mkwawa hizo 640lte,735 na 830 naweza zipata chini ya laki 3 zikiwa mpya dukani? Maana sipendelei used
ukipata mtu ambaye ni active yes unazipata. cheki bei zake online uoneChief-Mkwawa hizo 640lte,735 na 830 naweza zipata chini ya laki 3 zikiwa mpya dukani? Maana sipendelei used
Chief- mkwawa nna mpango wa kubadil simu bt kwa bajeti za kmagufuli mevutiwa na Huawei..Y6 Pro..vp ni kimtazamo wako..yafaaukipata mtu ambaye ni active yes unazipata. cheki bei zake online uone
budget gani?Chief- mkwawa nna mpango wa kubadil simu bt kwa bajeti za kmagufuli mevutiwa na Huawei..Y6 Pro..vp ni kimtazamo wako..yafaa
hapana haina zenye projector zinakuwa hiviSimu za projector zinakuaje? Nina s6 edge je inauwezo uo?
350budget gani?
mkuu ukiongeza hela kidogo unapata galaxy j5 ambayo ni nzuri zaidi.
Ni bei gan iyo J5mkuu ukiongeza hela kidogo unapata galaxy j5 ambayo ni nzuri zaidi.
gpu ya y6 pro ni t720mp2 na cpu ni quad cortex a53 ambayo ni ndogo sana inafanana na huawei za chini ya laki 2.
uzuri wa hio simu ni battery, ram na internal storage.
pia ipo lg g2 kama hujali simu za zamani inapatikana kwa bei hio nyingi zinakuwa mpya ila sio boxed
ya bei rahisi zaidi kuwahi kuiona 390,000 pia yupo jamaa anaziuza humu anadai ni boxed new kwa 390,000 hio id yake ni mtengwa mcheki.Ni bei gan iyo J5
mkuu mimi si mtu wa audio sana hivyo hata nikienda madukani sina interest hizo,Mkuu CHIEF MKWAWA kuna swali nilikuuliza kuhusu headphones za in-hear zenye 3D technology! Naweza kuzipata? Wapi? Bei inaweza ku range ngapi? Asante