Simu mpya

errynest s Lukindo

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
484
Reaction score
165
Nauza simu mpya kabisa

Toleo jipya Itel S31 unapewa vifaa vyake vyote vipo

Bei 190000 maongez yapo

Kwa mawasiliano no.0675636863 au 0762504906

Dsm.
 
mmhh bora nikanunue samsung s7 au IPhone kwaiyo bei yaani million kasoro laki
 
atakuwa alitaka kuandika laki na tisini,kama ndivyo basi huko shuleni huwa wanaenda kusomea ujinga?
 
Kwa pesa hiyo unapata Samsung S8 mpyaaa na waranty ya miaka miwili

Kwa iyo nikchomekea apo ako ka s8 kapyaaa,kwa iyo kale kaombi kangu nkua nawaza ntafanikisha kwako,..
 
Acheni uboya someni namba vizuri, ndio maaana watanzania hua tunaongoza kwa kufeli mitihani
 
Acheni uboya someni namba vizuri, ndio maaana watanzania hua tunaongoza kwa kufeli mitihani
Mkuu huyu hakukosea mwandishi ndio aliyokosea na amekubali kosa karekebisha
Kwa hyo kuna fekon ya laki na tisini kwanini msisome namba vizuri kuliko kukurupuka
Mkuu huyu hakukosea mwandishi ndio aliyokosea na amekubali kosa karekebisha
Jaman n maandsh n lak 90
Mkuu usiwe na haraka tulia type vizuri
 
Mkuu huyu hakukosea mwandishi ndio aliyokosea na amekubali kosa karekebisha

Mkuu huyu hakukosea mwandishi ndio aliyokosea na amekubali kosa karekebisha

Mkuu usiwe na haraka tulia type vizuri
Kwan shida iko wap hapo malekebsho c yashafanyika au?
 


Cm bado ipo karibun

Bei 190000

Punguzo lipo kwa anayehitaj......

Whatsapp no. 0675636863
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…