Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
HATA VODACOM, TIGO, AIRTEL, ZANTEL, SASATEL n.k hawajui natumia simu ya aina gan, sembuse TCRA? km ni imei nshabalisha simu baada ya kusajil line
tigo zipo 175,000 na sasa hv wametoa jelly bean android kwa 104usd
hiyo simu inapatikana huku chief?
ya tigo yes inapatikana na hio ya jelly bean why ispatikane? Maana china na tz ni kama nchi moja watu kibao wanafungashia china sku hizi na kama una mchongo na mtu anaekwenda huko unaweza toa special order kabisa
tigo zipo 175,000 na sasa hv wametoa jelly bean android kwa 104usd
2subiri 31 Dec 2012 kama itapona.
Hiyo jelly bean ya 104 usd ni ipi
HATA VODACOM, TIGO, AIRTEL, ZANTEL, SASATEL n.k hawajui natumia simu ya aina gan, sembuse TCRA? km ni imei nshabalisha simu baada ya kusajil line
mkuu my mistake ni ics android 4
simu inaitwa huawei t8830 ram 512mb goriila touchscreen na camera 3.2 mp strange chip ya mediatek nafkiri mpya hii na processor yake ni dual core speed yake sjaipata bado lakini still hata kama ni 1ghz ni fresh tu. Ukubwa wa kioo nchi 4 na una resolution ya 800x480.
Hawapo kabisa.Simu kama huawei, zte na tecno hawamo katika hili janga ikiwa tcra watafungia hizi simu
Mzururaji android ni aina mpya ya mademu wa Kimongolia
Mbwembe zote haina 3G
hakuna simu inayotumia android ikakosa 3G
Je Blackberry curve 8520 na hizi Huawei tigo wanazoziuza 175000 kwa promosheni ipiina utendaji kazi mzuri zaidikulinganisha na nyingne? naomba ushauri ila sio kejeli tena.