Simu kupata joto

Betri nayo inakaa na chaji muda gani??
Ttzo linakuwa ktk betri.
Hata mimi hlo ttzo lilinipata but baada ya kuambiwa ni betri, nikabadilisha. Sasa hivi iko poa


Yaani mkuu haikai na chaji.

Labda naweza pata wapi betri ya hii simu? Nikisoma kwenye mtandao naona betri yake ni 2000mAh na iliyopo kwa sasa kwenye simu ni 1730mAh inawekana tatizo linaanzia hapo.
 
Asante kwa maelezo mazuri,nina ka huawei p1 nimekanunua mchana wa leo kenyewe kanapata moto afu maandishi yanatetemeka mda fulani,kumbe ni kawaida mwe !!()
 
kuwa mwangalifu mwanawane nasikia kuna simu huwa zinalipuka
 
Kawaida ya simu nyingi hasa hizi smartphone huwa zinapata moto nilikuwa na Samsung galaxy captivate ilikuwa inapata moto sana..
 
Ninatumia simu aina ya HTC Evo 4g.
Inachonishangaza ni kwamba nikiingia net baada ya dakika tano tu, inapata moto sana huku nyuma usawa wa kamera.

Ninachoomba kufahamishwa ni kawaida kwa adroid zote au hizi htc tu?

Unatumia Airtel nin mkuu?
 
Mi nilijua simu yangu mbovu....natumia Huawei Y300 inapata moto si mchezo ikiwa kwenye charge na hasa napoitumia..
 

Natumia Huawei y300 mpaka naiogopa inapata moto nikianza tu kuitumia....ni mpya nimenunua mwezi november....
 
simu inashindwa kuhimili uwezo pia betri nazo huwa tatizo
 
Haya masimu ya h.t.c m cjayakubal kiviile ..juz kati nilinunua moja ikawaka afu ikashindwa kuprocess mbele ...majanga 2..samsung ni mwisho jamaniiii
 
ngoja nikuitie huyu mtalaamu akusaidie kidogo best Young Master hebu msaidie huyu mtu hapa
Ninatumia simu aina ya HTC Evo 4g.
Inachonishangaza ni kwamba nikiingia net baada ya dakika tano tu, inapata moto sana huku nyuma usawa wa kamera.

Ninachoomba kufahamishwa ni kawaida kwa adroid zote au hizi htc tu?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…