Simu inahitajika

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
I we katika ubora mzuri chaji na earphones ziwepo iwe na ubora mzuri sana kwa
Nina laki 190,000/=

Njoo pm. Sasa hivi....
 
Mm nina Tecno W4 ina laki na Sabini kama upo tyr nicheck kwa no 0629166514 nipo shinyanga mkoa simu ina charge na
ina muda wa miezi miwili
 
Mkuu lakini simu ndo nipo naitumia wacha nikiazima simu nakupigia picha yake uione sawa
 
Nina iPhone 5 plus ....sema utapunguza kidogo nikuuzie kwa 155,000/= coz sina njaa ya hela. Simu ni mpyaaa!!
 
Nenda dukani watakuuzia ya laki 3 kwa bei hiyo.....hali ngumu siku hizi utagombaniwa hatari januaru hii kuna wengn wanarudisha frem hawana pesa ya pango .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…