simu iliyoibiwa

Redey

Member
Aug 18, 2009
47
4
watalamu naomba msaada wenu ni jinsi gani naweza kuilinda simu yangu na vibaka.??
 
So far what you can do is to keep your emei number at safe place.Simu ikihibiwa unacheki na watu wa switch kwenye mitandao yote ya apa Tanzania.hawa watakuambia ipo ktk line number ngani,then unaweza kumtafuta kibaka wako.
so far inatakiwa TCRA kuinstall CEIR Central Equipment Identification Register,hii ndio kiboko ya wezi wa simu,but I dont know when this will be in place.
when Mobile IMEI ikiwa blacklisted aiwezi kamata network iliyoblacklistiwa,but for now apa TZ kama Voda wakiiblaklist,Ukiweka line ya Tigo inafanya kazi,but ikiwa CEIR ina fanya kazi when Tigo or Voda etc Blacklist a Mobile the mobile will not work in any Tanzania Mobile network
 
Hi Redey
My advise is mostly working if you have some symbian or smartphones..
Just install an application known as Wave secure(Nokia,BB,Windows mobiles,Iphones etc) or mobile tracker{specially for Samsung}.once your mwizi akiweka line yake automatically itakutumia secrertly his/her number to your buddies ambao watakuinform..then kwa msaada wa police,network provider ama TCRA u can narrow ur trace hadi kumpata new user regardless kama ndio aliekuibia au aliyeuziwa.Remember kuwa most of the working lines sasa zimesajiliwa japo kimagumashi lakini it might help!!
 

Umeeleza vizuri lakini Tatizo la tanzania Hata kama ulikuwa umeweka line ya kampuni " X" na mwizi wako akaiba naye akaweka iline ya ile ile kampuni ya" X". Hakuna watakachofanya. hata kama una RB hawatafanya kitu. Hakuna sheria inawalazmisha .

Na hata mfanyakazi wa kampuni akikusaidia kui trace anafanya individulal na kwa siri sio sera za kampuni. Na inaweza kumuweka kwenye matatizo wakuu wake wakijua. UNless uwe mtoto wa Rais, Waziri Mkuu au Mkurugenzi wa UWT.

Kuna softwae moja initwa Theft aware kwa simu zenye OS ya symbian


NB:
Tatizzo la hii unaweza kutrace mwizi au aliyeuziwa simu yako anatumia number gani lakinikama hajaamua kujisalimisha kumkamata bado utahitaji ushirikianowa kampuni ya simu na polisi.
 
Duh bwana mzee! Sina lengo baya lakini jitahidi saana kujifunza maneno gani yanaanza na h na yapi a.
 
Kulingana na mitandao yetu ilivyo hauna namna!
Kitu unachoweza kufany kuwa annoy kidogo watakaoiba ni Lock to the SIM card option.
hawezi tumia card nyingine na ifunge SIM yako na PIN.
Sina hakika kama akii flash hiyo lock inatoka
 
Kwa N70 kama ni yennyewe sio Mchina jaribu hii, http://tinyurl.com/2785noe
unapotumia Ant thieft program ni vizuri simu yako usiweke password sehemu yoyote ili atakaeitumia isimletee usumbufu utakao pelekea ku-iformat.
 
na simu Nokia N96 waweza ilinda vipi? Thanx.
Zipo njia nyingi angalia ilio nyepesi na yenye matumaini japo kidogo. N96 waweza jaribu na hii vilevile, http://tinyurl.com/2d6qunf kwa simu kama hizo ili uweze ku install prog yoyote must be hacked au uwe unaelewa ku sign prog, dowload, jaribu ku install, ukipata msg yoyote kuhusu certificate wakati una install njoo na hiyo msg tusaidiane ku-hack au ku-sign hiyo simu yako.
 
kwakweli akuna njia sahihi kwa mfumo wa kwetu unaoweza kukuhakikishia usalama wa 100 kwa 100 ukiibiwa cm yako hapa tz kwani mbinu zote mlizotaja hapa zinatatulika na cm inakuwa free kabisa kutoka kwa mmiliki halali kwenda kwa mwizi
 
kwakweli akuna njia sahihi kwa mfumo wa kwetu unaoweza kukuhakikishia usalama wa 100 kwa 100 ukiibiwa cm yako hapa tz kwani mbinu zote mlizotaja hapa zinatatulika na cm inakuwa free kabisa kutoka kwa mmiliki halali kwenda kwa mwizi
Ni kweli! lakini kwakutumia prog hizi kama inavyo takiwa kuna asilimia 50 ya kupatikana simu ilioibiwa/potea. simu iliowekwa proggram hii haimletei usumbufu wowote mwizi/alieiokota, baada ya kuweka tu sim card nyengine hii prog ndio inaaza kufanya kazi, kitu cha kwanza ile icon ya prog ina disappear halafu namba ya simu ilio wekwa kwenye simu yako inatumwa kwako bila yeye kujuwa kwamba simu inatuma sms outomatic. so hatakuwa na sababu ya ku-iformat/flash. kuna mtu nilimuwekea program hii kwenye simu yake N70, yeye ilimpotea haikuibiwa, simu yake ilipatikana kwa msaada wa polisi.
 


message, (drive the new drive unavailable. Try again). Hii inatokea wakati wa kuinstal. Any help pls
 
message, (drive the new drive unavailable. Try again). Hii inatokea wakati wa kuinstal. Any help pls
Mh! Una uhakika simu yako ni original? kwani ni msg tofauti na niliyo itegemea. ok! tutaona mbele ya safari, install hii MOBILE SIGNER http://tiny.cc/1my87 halafu njoo utueleze nini kimetokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…