simu hii ni android version 8,kuna mtu wa infinix wa version 8 kama yangu nilimrushia text ya wasap ambayo kwangu haisomi kwake inasoma,hakuna setting naweza kufanya?
simu hii ni android version 8,kuna mtu wa infinix wa version 8 kama yangu nilimrushia text ya wasap ambayo kwangu haisomi kwake inasoma,hakuna setting naweza kufanya?
Hio ni lugha mkuu haipo kwenye simu yako. Jaribu kwenda setting kisha language and input, download lugha zako unazohisi unatumia then uone kama itasolve tatizo.