ok 230k niifate nko nayo hapa nije kwako niibebe sasa hiv nipo kkooHaipungui ndugu yangu huu mzigo wa uhakika sibahatishi biashara
Mungu akuinulie wateja wenye offer nzuri kuliko utegemeavyoHabari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Samsung Galaxy-S8
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 3,000 MAh.
Bado mpya kabisa ina wiki mbili tu tangu inunuliwe dukani.
Bei yake ni 250k (laki 2 na 50)
Kama unahitaji piga simu namba 0627 005301
Kama bado mpya,mtu akijichanga vizuri anapata kitu kinyemi kabisa.Habari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Samsung Galaxy-S8
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 3,000 MAh.
Bado mpya kabisa ina wiki mbili tu tangu inunuliwe dukani.
Bei yake ni 250k (laki 2 na 50)
Kama unahitaji piga simu namba 0627 005301
Sio simu ya mchongo kweli hiyo? Mbona hiyo bei haiendani na ukweliHabari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Samsung Galaxy-S8
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 3,000 MAh.
Bado mpya kabisa ina wiki mbili tu tangu inunuliwe dukani.
Bei yake ni 250k (laki 2 na 50)
Kama unahitaji piga simu namba 0627 005301
Bei rahisi mpaka nahisi hii simu sio salamaHabari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Samsung Galaxy-S8
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 3,000 MAh.
Bado mpya kabisa ina wiki mbili tu tangu inunuliwe dukani.
Bei yake ni 250k (laki 2 na 50)
Kama unahitaji piga simu namba 0627 005301
Labda ni copyBei rahisi mpaka nahisi hii simu sio salama
Hakikisha unatoa na risiti yake kabisa ...
Vinginevyo hio Bei inaogopeshaaa
Hii simu Ni zaidi ya 600k dukani, Bei inatia Sana mashakaJiandaeni kwenda kulipa million na zaidi oysterbay pale kwa yeyote ambaye anaona ni rahisi kuuziwa simu ya laki 4.5 kwa 250k na ainunue atakuja kushuhudia hapa
UtaambiwaJiandaeni kwenda kulipa million na zaidi oysterbay pale kwa yeyote ambaye anaona ni rahisi kuuziwa simu ya laki 4.5 kwa 250k na ainunue atakuja kushuhudia hapa
Hapo unanunua kesi, mchongo tayari upo kwa Mwela!Hii simu Ni zaidi ya 600k dukani, Bei inatia Sana mashaka
Hahahahah balaa sana yani.Utaambiwa
"marehemu alipigwa kichwani na kitu chenye ncha Kali"
Hivi hakuna njia ya kuepuka kununua kesi ?Hapo unanunua kesi, mchongo tayari upo kwa Mwela!
Utakwepaje wakati ng’ora ni ya misheHivi hakuna njia ya kuepuka kununua kesi ?