Madalali unajua maana yake??? Ukiskia neno OFFER bas unajua kuna dalali kaingia hapo kati....wabongo bwnNiko Dar, offer itategemea hali ya simu, storage na aina (6,6+,6s, 7 etc)
Si-entertain madalali kabisa mkuu.
mkuu iphone 5s hio sh ngapi ??Kuna Iphone 5S in good condition, japo ni nje ya simu uliyohitaji lakini sorry yaweza kuwa alternative
Mkuu hio 5s unaitakia ngapi??Kuna Iphone 5S in good condition, japo ni nje ya simu uliyohitaji lakini sorry yaweza kuwa alternative
Mkuu hio 5s unaitakia ngapi??