Sio mbaya mkuu. Ni nzuri, na bei yake ni affordable, sijui unanunia second hand au brand new? Kama kwa mtu isizidi 180,000Tsh.
Imezinduliwa mwezi March mwaka huu, 2014, hapa no specifications, wengine mtasaidia kushauri:
-Ima double line.
-Kioo 4.5" LCD
-Processor ya 4 cores, 1.2Ghz
-Memory internal ni 4GB, unaweza weka Memory Card na ina RAM ya 512MB
-Camera moja ya nyuma tu yenye 3MP resolution.
-Connection za muhimu kama 3G, WiFi, Bluetooth uhakika.
-Ina removable battery ya 1500mAh.
Specifications zaidi hapa:
Gonga Hapa