Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,668
- 34,367
Baada ya kumfukuzia demu flani kwa muda mref hatimae nilipata namba yake na nikaomuomba tukutane sehem flan kwaajili ya kumwambia kile kilicho nifanya nitafute namba yake
Siku ilifika tukakutana lakin ndani ya zile dakika 10 za maongezi yetu alipokea simu Kama 7 yan ikawa kabla sijamaliza neno anapokea simu, kabla sijamaliza neno anapokea nyingine, kilicho nikatisha tamaa kila simu akipokea anajibebisha ile ya kimapenzi huku akishinikiza atimiziwe ahad flan flan zilizokua za gharama sana alaf ni kwa watu tofaut tofaut.
ilinibid nibadilishe mada kutoka kumtongoza hadi kujidai nimemfananisha na dada flan niliepotezana nae muda mrefu
Nimecheza kamari nyingi ila siku ile nakiri nilisukuma kete mbovu
Sent using GunTrigger
Siku ilifika tukakutana lakin ndani ya zile dakika 10 za maongezi yetu alipokea simu Kama 7 yan ikawa kabla sijamaliza neno anapokea simu, kabla sijamaliza neno anapokea nyingine, kilicho nikatisha tamaa kila simu akipokea anajibebisha ile ya kimapenzi huku akishinikiza atimiziwe ahad flan flan zilizokua za gharama sana alaf ni kwa watu tofaut tofaut.
ilinibid nibadilishe mada kutoka kumtongoza hadi kujidai nimemfananisha na dada flan niliepotezana nae muda mrefu
Nimecheza kamari nyingi ila siku ile nakiri nilisukuma kete mbovu
Sent using GunTrigger
Last edited: