Programu ya mazoezi kwa wanariadha hawa wanaotegemewa kuleta medali kwa Tanzania ktk mashindano haya makubwa kidunia haitavurugika na kuchagia wafanye vibaya ?
Hii ni sawa na vile Simba au Young Africans kufumbuliwa na wazee wa kamati ya ufundi kwa siku mbili mfululizo kuelekea mechi zao kubwa za kimataifa kisha kufanya vibaya ?
Waziri aache kuwatumia wanariadha kipindi hiki muhimu katika siasa za bungeni