Simbachawene: Mitambo ya Gesi Mtwara ing'olewe

hata msomi akiona mambo aliyoyapanga ili kijinufaisha yanakwenda mrama hutoa lugha kama hizo. rejea kauli ya pinda wakati ule wa sokomoko la dr ulimboka mkuu.

hiyo ni fact.....nimekusoma
 
Ngoja ngoja ngojea mbona mwaka huu 2013 patafahamika Na hii kitu unaambiwa Bunge halijaanza.. Ngojea lianze..
Watasingizia kuwa swala hilo liko mahakamani lisijadiliwe!
 
Kwakuliona hilo hapo kwenye Red,jamaa wameamua kukomaa.Hao wengine si walikuwa wajinga tu. Wajinga ndiyo waliwao. Hapo ni kekundu tu.Big up machinga wamezidi kuwaonea.
 
Hiyo sasa itakuwa Sindimba! Sijui kama anaijua kuicheza. Kule Tarime ingeitwa Litingu, kazi ipo!
 
Kauli Kama hizi ndio zitawaaribu wana mtwara akili. Yani badala ya kuwaomba na kuwaelimisha yeye anawatisha? Maajabu ya muss Haya. Kwa iyo Kama wana mtwara ni waasi basi wajitangazie uhuru wao maana waziri kashawatenga na kuwaita waasi.

Hii ni hatari sana cdm nusuruni hili Jamani ccm inatupeleka pabaya
 
Suala la gesi Mtwara lisitugawe watanzania! Upande wowote usipuuzwe!!!
Tulipofikia ni pazuri! Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania!
 
Jamani msimlaumu Simbawachene, kauli kama hizi hazina budi kutokea ili hata waliousingizini waamke tushirikiane kwa pamoja kuikomboa Tanzania yetu mikononi mwa wakoloni weusi!

count down towards 2015
 
Suala la gesi Mtwara lisitugawe watanzania! Upande wowote usipuuzwe!!!
Tulipofikia ni pazuri! Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania!

uNA MAANA hata KILAZA na vijembe vyake asipu-uzwe?,kuwa makini ww....,acha u-poyoyo.ngoja Uranium ichotwe sumbawanga ndo ulete khadithi hizo.
 

Hivi tuna mawaziri wenye akili ndogo hivi........wananchi wanataka maendeleo
Kisaa yeye kuzomewa....?
 
MUNGU ibariki Tanzania na watu wake na mwisho wa maccm kutawala iwe 2014 AMINA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…