Simbachawene juu ya gesi ndani ya Clouds fm

Simbachawene juu ya gesi ndani ya Clouds fm

Mtwara mpaka kieleweke, wamezoea kuwazoazoa waTZ, siku hizi sio watu wakuzolewazolewa kiasi hicho!
 
Kama sasa hivi serikali au watu wa DSM wanapata hasara ya mabilioni ya fedha kwa sababu ya foleni. Kwa nini hiyo gesi wanalazimisha ije Dar hasara si itaongezeka zaidi coz msongamano utazidi kuwa kero na hasara kwa taifa
 
Halafu huko Mtwara si kuna FM radio huko, inaitwa Pride, sasa kwa nini chawene hakwenda hapo Pride akayaseme hayo ili wana 'Ntwara' wamjibu faster, si alikuwa huko.

.........................................
Historia haiishiwi wino.
 
Back
Top Bottom