mwakichi
JF-Expert Member
- May 14, 2011
- 417
- 97
Wanajamvi
Naona sarakas za gesi zimeamia Clouds fm,hapa naona Naibu wa Nishati Nhe. Simbachawene anatema povu katika mambo ambayo hayaitaji nguvu kbsa ktk kuelezea..nimemsikia akidai kujenga miundo mbinu ya umeme kutoka Mtwara mpka Dar ni gharama zaidi kuliko kuleta gesi DSM, zaid anafafanua upatikanaj wa ajira na uwezo wa gesi ktk kutumika majumban,ila waswas wangu na pale anaposema magari ambayo yanapatikana mengi DSM yatatumia gesi..huu ni uwongo,Tanzania bado sana ila hili swala la viwanda kujengwa baada ya gesi kuja pia ni siasa,kwanin viwanda visianze kujengwa kbsa ili watu wa Mtwara waweze kuelewa faida hiyo.
Serikali ya CCM ina agenda gani na gesi ya Mtwara na kwanin hao wanaochimba wasafirishe nje wakat ges ni yetu na sisi ndo waamuz,h apa anasema serikal itasave zaid ya trillion na pesa hizi kwenda ktk elim na afya,bdo serikal ya CCM inajua Watanzania ni masikin wa elimu na afya zao sasa wanataka kutumia karata ile ile miaka yote kuhadaa Watanzania.
Hili swala la Clouds kugeuka redio ya Tanzania limepitishwa na serikal gan?
Hivi kuna ugumu gani wa gesi ya Watanzania ikaanza kuwanufaisha wana mtwara kwanza ili waweze kuendelea,pale kuna bandari,ipo mpakan kbsa kuna ardhi kubwa sana..kunani na gesi ya Mtwara?
My take
CCM iangalie kwa umakin upatikanaji na ugawaj wa rasilimal ktk kuleta maendeleo tz nzima na siyo dsm pekee
Clouds fm ni sekta binafsi haina sabab ya kupiga tantalila ktk gesi otherwise na wao ni wanufaikaji
Naona sarakas za gesi zimeamia Clouds fm,hapa naona Naibu wa Nishati Nhe. Simbachawene anatema povu katika mambo ambayo hayaitaji nguvu kbsa ktk kuelezea..nimemsikia akidai kujenga miundo mbinu ya umeme kutoka Mtwara mpka Dar ni gharama zaidi kuliko kuleta gesi DSM, zaid anafafanua upatikanaj wa ajira na uwezo wa gesi ktk kutumika majumban,ila waswas wangu na pale anaposema magari ambayo yanapatikana mengi DSM yatatumia gesi..huu ni uwongo,Tanzania bado sana ila hili swala la viwanda kujengwa baada ya gesi kuja pia ni siasa,kwanin viwanda visianze kujengwa kbsa ili watu wa Mtwara waweze kuelewa faida hiyo.
Serikali ya CCM ina agenda gani na gesi ya Mtwara na kwanin hao wanaochimba wasafirishe nje wakat ges ni yetu na sisi ndo waamuz,h apa anasema serikal itasave zaid ya trillion na pesa hizi kwenda ktk elim na afya,bdo serikal ya CCM inajua Watanzania ni masikin wa elimu na afya zao sasa wanataka kutumia karata ile ile miaka yote kuhadaa Watanzania.
Hili swala la Clouds kugeuka redio ya Tanzania limepitishwa na serikal gan?
Hivi kuna ugumu gani wa gesi ya Watanzania ikaanza kuwanufaisha wana mtwara kwanza ili waweze kuendelea,pale kuna bandari,ipo mpakan kbsa kuna ardhi kubwa sana..kunani na gesi ya Mtwara?
My take
CCM iangalie kwa umakin upatikanaji na ugawaj wa rasilimal ktk kuleta maendeleo tz nzima na siyo dsm pekee
Clouds fm ni sekta binafsi haina sabab ya kupiga tantalila ktk gesi otherwise na wao ni wanufaikaji