Jahkaya alisema ni upepo tu utavuma na utapita na leo hilo linaelekea kudhihirika kwani media zote zimejikita kwenye issue ya mgomo wa madokta na tukio la majasusi ya serekali ya sisiemu kumvamia na kumdhuru jemedari doctor wa ukweli ULIMBOKA.alijitahidi sana siku za mwanzo kuizima kashfa iliyokua ikimuandama ya uzinzi na kama ilivyo anaelekea kushinda alakini iko siku ukweli tutaubaini kwani ukweli huwa unaishi na ungo kamwe hauna maisha.