Elle Kisinga
Member
- Jan 13, 2013
- 64
- 6
Hayawi hayawi sasa yamekuwa...
Binafsi nimefurahi sana Mohamed Dweji (MO) kukabidhiwa klabu ya Simba. Hakika hii ni habari njema kwa wana Msimbazi.
Natumaini umoja na mshikamano wa viongozi wa Simba pamoja na wadau mbalimbali utaleta maendeleo ndani timu ikiwa ni pamoja na kubeba ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara.
Hongera sana viongozi wa Simba kwa kujadili na kufikia muafaka wa pamoja kwa kumkabidhi timu MO Dweji!
Binafsi nimefurahi sana Mohamed Dweji (MO) kukabidhiwa klabu ya Simba. Hakika hii ni habari njema kwa wana Msimbazi.
Natumaini umoja na mshikamano wa viongozi wa Simba pamoja na wadau mbalimbali utaleta maendeleo ndani timu ikiwa ni pamoja na kubeba ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara.
Hongera sana viongozi wa Simba kwa kujadili na kufikia muafaka wa pamoja kwa kumkabidhi timu MO Dweji!