Wakati wa tambo ndiyo huu kwa mashabiki wa simba. Halafu mwishoni mwa msimu utawashangaa tena wakimlaumu mwekezaji kwa kusajili wachezaji wa kawaida kuliko wale wa wapinzani wao Yanga!
Wakati wa tambo ndiyo huu kwa mashabiki wa simba. Halafu mwishoni mwa msimu utawashangaa tena wakimlaumu mwekezaji kwa kusajili wachezaji wa kawaida kuliko wale wa wapinzani wao Yanga!
Du hicho kiatu , si atakua mchezaji wa book mbili tu, kwa sababu hicho kiatu ukienda mtaa wa congo unaweza kuuziwa hata kwa shilingi miatano, au ni macho yangu