Lukwangule
Senior Member
- May 25, 2009
- 157
- 2
SIMBA ya Dar es Salaam inayoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho, leo imeifunga Lengthens ya Zimbabwe bao 3-0 katika mchezo mkali na wa kusisimua ulifanyika mjini Harare,Zimbabwe.
Hadi mapumziko Simba ilikuwa mbele kwa mabao 2-0.
Timu hiyo ambayo Jumapili ilitwaa ubingwa wa Tanzania Bara ilionekana kupania mchezo huo kwa kucheza kwa nguvu zaidi kiasi cha kuwapa wakati mgumu wenyeji.
Wafungaji ni:
Dk ya 32 mfungaji akiwa Mohammed Banka, kisha dakika 36 Mussa Hassan 'Mgosi'.Mohammed Kijuso alimalizia karamu ya magoli
Hadi mapumziko Simba ilikuwa mbele kwa mabao 2-0.
Timu hiyo ambayo Jumapili ilitwaa ubingwa wa Tanzania Bara ilionekana kupania mchezo huo kwa kucheza kwa nguvu zaidi kiasi cha kuwapa wakati mgumu wenyeji.
Wafungaji ni:
Dk ya 32 mfungaji akiwa Mohammed Banka, kisha dakika 36 Mussa Hassan 'Mgosi'.Mohammed Kijuso alimalizia karamu ya magoli