Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Yaani sijui inakuwaje,katika magoli ya Simba lazima liwepo 1 la penalt....na kama Azam hawajajipanga vizuri leo Jamaa wanaweza kupata penalt 3 kweli.daa asante refa aneza akatupa ata penat3 leo
Anyway mi nimepita tu hapa,nitarudi baada ya dk 90 za mtanange huu.