Jamani wa JF samahani kama nitawakwaza wengi hasa wapenzi wa Timu ya Simba. Nimesikia leo asubuhi kuwa Uongozi wa Timu ya Soka ya Simba wamekata Rufaa dhidi ya hii timu yenye jina linalotamkika KIFARAGHA napenda kujua ni kwanini wamekata rufaa???
LIBOLO are mere minnows lakini Simba wamepanua yooooote!....Mngekutana na Raja C kwa hichi kitimu chenu cha sasa cha maha-RAGE mngening'inizwa dazeni kabisa!!
Jamani wa JF samahani kama nitawakwaza wengi hasa wapenzi wa Timu ya Simba. Nimesikia leo asubuhi kuwa Uongozi wa Timu ya Soka ya Simba wamekata Rufaa dhidi ya hii timu yenye jina linalotamkika KIFARAGHA napenda kujua ni kwanini wamekata rufaa???
Huu mwaka sio wao Simba kwa maana kama wangefuzu wangekutana na FC CHIPUMBU ya Msumbiji hapo si ingekua balaa lingine tena! bora walivyotolewa wapumzike.