SIMBA SC VS STELLA ABIDJAN MWAKA 1993

Soma vizuri,ilikuwa in usiku baada ya mechi ndiyo jamaa wakaenda bills
 
Baghdad,chukwu,ngoma,kamusoko,aboutrika,yousuph hajj,nk
 
James tungaraza alifunga gol 1, gol lingine lilifungwa na mohamed hussein (mmachinga)
 
Boli zozo aliingia kipindi cha pili na kufunga goli la mbali la pili kama alivyofanya James tungaraza naye alifunga la pili
 
Naskia hata leo wameuza mechi, bwana mkubwa kabanwa kwenye biashara huko na Jiwe
 
Boli zozo akifunga goli zote 2, na mechi ya Yanga na Simba James tungaraza aliyesajiliwa tokea sigara FC ya far, akifunga goli zote 2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…