Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,274
- 115,199
😂😂😂Afadhali, wana kelele sana.
😂😂😂Afadhali, wana kelele sana.
Shafeeya ShadeeyaNasikia hivi ndio namna Masau Bwire aliingia Taifa.
Mbumbu Ni mataga na mataga Ni masengerema,,hahahahahahahhahahayaani kadri uzi ulivyosonga M b u m b u m b u post zao zikapungua nguvu ya kutamba.
Unapata shida ya nini kurudia? Mbona tumeshakujibu hapo juu wewe na Bumbuli ni group moja la WhatsAppSimba ni li genge la wauni na wavuta gongo na wanywa bange na wahaini kazi yao kubwa ni kuniharibu mpira wa Tz kwa kuhonga marefa na kununua mechi, kupulizia sumu tim pinzan n.k, Uwezo wao uwanjani ni mdogo kweli kweli adi huruma
Wana point ngapi tofauti na wale vyuraSimba ni nzuri, hatari magazetini, social media na redioni.
Uwanjani bado sana.
Simba ni li genge la wauni na wavuta gongo na wanywa bange na wahaini kazi yao kubwa ni kuniharibu mpira wa Tz kwa kuhonga marefa na kununua mechi, kupulizia sumu tim pinzan n.k, Uwezo wao uwanjani ni mdogo kweli kweli adi huruma
Mtani jana tulicheza hovyo sana midfield na safu ya ushambuliaji walikuwa wanacheza kama wanamimba ya miezi saba.
Akaundi yenu inasoma ngapi mikia alizoingiza KanjibaiWe hujaeleweka bado una wenge na yale mabadiliko ya Chief Mangungo wa Msowero...Ebu malizana na Laliga kwanza kisha uje hapa..!
Afadhali umekuwa mkweli Mtani. 😀Mtani jana tulicheza hovyo sana midfield na safu ya ushambuliaji walikuwa wanacheza kama wanamimba ya miezi saba.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tujikumbushe mechi za mwisho.
Yanga 0 Ruvu shuting 1
Azam 0 Ruvushuting 1
KMC 0 Ruvushuting 2
Simba 1 Ruvushuting 1
Hapo nani wa kumcheka mwenziye
Hahahaaaa, kweli kabisaKwa timu hii tar 8 kuwafunga goli moja ni uzembe wa Yanga
Mbumbumbu FCSimba ni li genge la wauni na wavuta gongo na wanywa bange na wahaini kazi yao kubwa ni kuniharibu mpira wa Tz kwa kuhonga marefa na kununua mechi, kupulizia sumu tim pinzan n.k, Uwezo wao uwanjani ni mdogo kweli kweli adi huruma
Wana pa kutoka basi jirani cha zaidi wamenusurika kupapaswa. Yaani hooii.