Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Endelea kuamini hivyo maana ni haki yako ya kikatiba.Simba bado ni timu bora kuliko zote tz. Kelele zote hz ni kutokana na ubora wa timu ya simba. Ni wazi hata yanga mlishangilia droo na simba iweje mbao wasishangilie.
Bado naamini simba ndiyo bingwa.
Nikukumbushe tu: siyo lazima kila kitu unachoamini ndivyo kilivyo! Hata Wapagani wanaamini miungu yao ya mawe, miti, wanyama n.k wakati Mungu ni mmoja tu aliyeumba mbingu na dunia na vitu vyote vilivyomo (Kutoka 20:11).