Simba SC kucheza mechi kubwa 2 pre-season Misri

Simba SC kucheza mechi kubwa 2 pre-season Misri

ANOLD MEDIA

Member
Joined
Mar 31, 2021
Posts
8
Reaction score
8
1756143928718.png
Klabu ya Simba ikiwa inaelekea kumaliza Pre season yake huko Misri inataraji Kucheza Michezo miwili ya kimataifa ya kirafiki
.
Simba itacheza na Wadi degla ambayo inashiriki ligi kuu ya Misri kesho tarehe 26 na Mchezo mwingine itacheza na Fs Fassel kutoka Liberia na Fessel ni Bingwa wa Liberia Msimu uliopita
.
Tayari Simba imecheza Michezo mitatu ya kirafiki huko Misri wakishinda michezo miwili na kupoteza Mchezo mmoja hivyo kiujumla Simba watakuwa wamecheza Michezo mitano ya kirafiki.
.
Kikosi cha Simba kinataraji kurudi Tanzania Tarehe 28 tayari kwaajili ya Simba day pamoja na Maandalizi ya Mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani zao Yanga .
 
Mwakani timu iweke kambi Bunju Mo Arena. Full stop!
Haiwezekani kila mwaka timu inaweka kambi Misri, mara Uturuki! Halafu mpaka msimu unatamatika, timu haipati kikombe hata kimoja. Wenzenu Yanga kila mwaka wakiweka kambi Avic Town, wana uhakika wa kubeba ubingwa wa ligi kuu na ule wa shirikisho.
 
Upande Wa Pili.... Yanga kukipiga na Kimbiji Kombaini pre season.!

Kigamboni mechi za Kimataifa uzitoe Wapi?
 
Upande Wa Pili.... Yanga kukipiga na Kimbiji Kombaini pre season.!

Kigamboni mechi za Kimataifa uzitoe Wapi?
Ndio zao hao upande wa pili, ila kinachouma ni pamoja na kufanya hivyo makombe ya ndani wanabeba wao na kama haitoshi wanawachabanga Simba kama mteja wao mara tano mfululizo.
 
Mbumbumbu uwa wanacheza na reserve team na wanajisifu na walishawahi poteza kwa izo reserve team.

Angalia timu zote walizochezanazo zinakua zimetoka kucheza mechi ya Ligi kuu pale Misri. Siku ya pili wale wachezaji ambao hawakupata nafasi au waliocheza dakika chache kwenye mechi ndio Wana cheza na Simba😄😄😄.
Na majamaa yanafurahia ushindi usio na tija.
kwenye Ligi Ina anza mi bebo na makosa ya kibinadamu.
 
Mbumbumbu uwa wanacheza na reserve team na wanajisifu na walishawahi poteza kwa izo reserve team.

Angalia timu zote walizochezanazo zinakua zimetoka kucheza mechi ya Ligi kuu pale Misri. Siku ya pili wale wachezaji ambao hawakupata nafasi au waliocheza dakika chache kwenye mechi ndio Wana cheza na Simba😄😄😄.
Na majamaa yanafurahia ushindi usio na tija.
kwenye Ligi Ina anza mi bebo na makosa ya kibinadamu.
Kipimo kizuri cha timu ni club bingwa Africa.
 
Back
Top Bottom