nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,609
- 4,097
Coach wa yanga duh kajazia mbaya. Edina njoo ushuani huku hata nguo zitakupendeza hasa hilo figure lako.KOCHA WA SIMBA QUEEN: Mchezo ulikuwa mzuri, Yanga princess ni timu kubwa nilijua tu watakuja kutaka kulipiza kisasi, tumewaheshimu, tumewafunga.
KOCHA WA YANGA PRINCESS: Aaah tumefungwa kwa sababu hakuna uwiano, SIMBA kwenye benchi kuna mwanaume.