Eti Mbadala wa Dany Lyanga ni Hajji Ugando!!!!!!! Huu sasa utani.Infact simba kwa sasa haina wachezaji wenye uwezo wa kuchezea simba kama mdau alivyosema.Simba ni timu kubwa haiwezi kujaza timu B tu bila kuwa na stricker wenye kipaji.
Hapa ndipo unapogundua udhaifu wa wapenda mpira wa bongo, ina maana hauoni udhaifu wa kikosi cha Simba!!! Hivi kweli mbadala wa Dany Lyanga ni Hajji Ugando!!! Mbadala wa Kiiza ni Paul Kiongela!!!!Kila tupojitahidi kuweka mikakati ya ushindi, lakini marefa wamekuwa wakiwabeba kwa mbeleko timu pinzani. Nahisi kuna njama ya kutuhujumu.
Na inawezekana hata kutumia baadhi ya wachezaji wasio waaminifu kuhujumu timu.
jiahidi kuweka data mkuu,ILA kwa kifupi timu yenu haiko na balance nzuri ya wachezaji ,mmoja Tu akikosekana tatizo pia uwezo WA kocha wenu kuhamasisha hana Jana walikua kama wapo zoeziniKila tupojitahidi kuweka mikakati ya ushindi, lakini marefa wamekuwa wakiwabeba kwa mbeleko timu pinzani. Nahisi kuna njama ya kutuhujumu.
Na inawezekana hata kutumia baadhi ya wachezaji wasio waaminifu kuhujumu timu.