ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,417
- 5,294
Salaam,
Viongozi wa Simba nawapa tahadhari tena msije kukurupuka kumsajili Victorien Adebayor raia wa Niger aliyeshuka kiwango sana
Mchezaji huyu amepoteza namba kwenye taifa dogo kimpira Niger
Ni miaka miwili yuko bench kutokana na kushuka kiwango toka alipohamia RS Berkane hawajawahi kucheza hata mchezo wa kirafiki
Na sasa yuko Amazulu akisuburia benchi na team ya Amazulu ina mpango wa kumwacha kama free agent
Za ndani ni kwamba week iliyopita alifika Dar es Salaam kusaini Simba
Simba wanaendelea kukurupuka kwenye usajili kama kawaida yao na wakipigwa 5G wataanza kulalama ati wachezaji wamerogwa
Scouting team ya Simba imelala hadi wameamua kusajili hili garasa Adebayor
5G itawakuta tena miaka 10 mfululizo hadi viongozi wenu watakapo pata akili
Viongozi wa Simba nawapa tahadhari tena msije kukurupuka kumsajili Victorien Adebayor raia wa Niger aliyeshuka kiwango sana
Mchezaji huyu amepoteza namba kwenye taifa dogo kimpira Niger
Ni miaka miwili yuko bench kutokana na kushuka kiwango toka alipohamia RS Berkane hawajawahi kucheza hata mchezo wa kirafiki
Na sasa yuko Amazulu akisuburia benchi na team ya Amazulu ina mpango wa kumwacha kama free agent
Za ndani ni kwamba week iliyopita alifika Dar es Salaam kusaini Simba
Simba wanaendelea kukurupuka kwenye usajili kama kawaida yao na wakipigwa 5G wataanza kulalama ati wachezaji wamerogwa
Scouting team ya Simba imelala hadi wameamua kusajili hili garasa Adebayor
5G itawakuta tena miaka 10 mfululizo hadi viongozi wenu watakapo pata akili