Simba ina viongozi wasiojitambu; Tshabalala mkataba unaisha mnaangalia no negotiation in prior. Utopolo wapo njiani wanaenda kuchombeza sasa mjisahau

Simba ina viongozi wasiojitambu; Tshabalala mkataba unaisha mnaangalia no negotiation in prior. Utopolo wapo njiani wanaenda kuchombeza sasa mjisahau

PLOII

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,098
Reaction score
801
Hello wana Jukwaa,

Niende kwenye Mada Kwa ufupi.

Hivi viongozi wa Simba umakini wenu aliondoka nao Hans Pope kweli cream kama Tshabalala The Captain, the only one & the top in SIMBA Sports Club hadi contract ina freeze viongozi mpo tu?

Hivi ukimtoa Tshabalala pale Simba in terms of Performance & legendary unabaki na nani? Try again anachowaza ni kununua magari na kupaka super black nothing else. Mo hayupo serious mbona team yake imezungukwa na vishoka mtu wa Maana pale ni Magori wengine wote must be disposed, nothing new from them. Tofauti ya Mutale na Try again ni umri tu Wote ni useless in terms of productivity.

Mo kuwa serious Tshabalala ni mboni ya Simba kama anadai semeni tujue kuna wadau ni master plan ili captain wetu apate raha. Tshabalala hapaswi kudai Simba Kwa kazi yake ndani ya Simba ni Mchezaji anayepaswa kupewa kipaumbele ni icon ya Timu yetu.

Nazani Mo utafanya Jambo ndani ya siku mbili hizi Maana Utopolo wameanza kuchombeza kama kawaida Yao.

Jumapili Njema ndugu zangu
(goodnight)
 
Ndio mpira ulivyo Wakati Yanga inatembeza bakuli, Simba ilifanikiwa kuwachukua wachezaji wa Yanga.

Benard Morrison, Beno Kakolanya, Haruna Niyonzoma, Gadiel Michael n k
Walikua wachezaji tegeneo kwa Yanga lakini fedha ika amua.

Kwasasa Yanga nao wapo vizuri, tegenea lolote , kikubwa ni kuhakikisha Simba ina bomoka na Kila siku ianze upya na ndio sayansi ya upinzani katika soka.
 
Ndio mpira ulivyo Wakati Yanga inatembeza bakuli, Simba ilifanikiwa kuwachukua wachezaji wa Yanga.

Benard Morrison, Beno Kakolanya, Haruna Niyonzoma, Gadiel Michael n k
Walikua wachezaji tegeneo kwa Yanga lakini fedha ika amua.

Kwasasa Yanga nao wapo vizuri, tegenea lolote , kikubwa ni kuhakikisha Simba ina bomoka na Kila siku ianze upya na ndio sayansi ya upinzani katika soka.
Mwekezaji wetu ni tajiri Namba Moja Tanzania lakini kutoa pesa ya usajili ni NTITI
 
Back
Top Bottom