Chief Ortambo Ikumenye
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 255
- 529
1. Mutale - anacheza kama ana shoti kichwani, mbio nyingi output zero... ukiwa na mchezaji type hii ushindi wako utakuwa ni ule wa mafuluku na magoli ya papatu papatu... huwezi ku achieve sustainability. Huyu makocha wasijichoshe hafundishiki tena kwa level yake
2. Kijili - huyu naye ni kama anacheza akiwa amepigwa shoti. Ila kuna uwezekano makocha wakaongea naye abadilike, right back unapata mpira unakimbiza kama ngiri mkia juu... mipira ya kizamani.
3. Kibu Denis - Huyu angebaki kutalii ulaya, hana impact yeyote kwenye timu kwa sasa.
HAwa wafuatao waongeze work rate na wawe watulivu
1. Ahoua - Anacheza ki mvp sana atulize wenge apambane na kujituma zaidi, yupo soft sana
2. Balua - Atulize mawengeni
3. Ngoma - Dimba la kati linamuacha sujui ni umri
4. Mukwala - Huyu kocha akae naye chini anaonekana ana kitu
Hawa wapo safi sana nimewakubali
1. Ateba - aisee hili jamaa ni striker haswaa, amefunga goli gumu na hana papara. Yaani jamaa kama jini hivi akiwa kwenye D possibility ya kufanya maafa ni 85%
2. Okejepha, Awesu - Wapo safi
Ndiyo kazi yake hiyo, wewe refa uwe unapuliza filimbi. Ila yeye atakuwa anafunga tu kazi kwako kutafsiri.Ateba anafunga mabao ya kuotea tu!
Magoli ya akili yale... mwangalie Rud van nesteroy utakubali... hata la jana halikuwa offside... mwanangu umeanza kwangalia boli lini?Ateba anafunga mabao ya kuotea tu!
Simba haikufanya makosa hata kidogo kuwaacha mkude, chama na baleke... yalikuwa mawazo mazuriMwaka Huu tumeziba Masikio, Hatutambadilisha Mchezaji yeyote..!
Tumewashtukia nyie Utopolo.... !
Kwanza picha Linaanza mnawakosoa kwamba hawajui na kuwabeza sana Wachezaji wa Simba.
Halafu , Ghafla Usajili ukifungwa Yanga day tunashangaa Wale Wote mliowaponda ndo mmewajaza huko kwenu!
Na hili msibishe kwa kuwa Mwaka huu pekee mmemtambulisha Nungu nungu, Chama na Baleke... Sasa chokochoko zimeanza Kwa Kijili, Mutale...nk.
Hawa muwasahau kbs. Nyinyi endeleeni na Hao MEMKWA wenu....!
Plus ana maamuzi ya papara sanaBalua apunguze mawenge ama anifunze na kutumia mguu wa kulia?
Yaani mpira ukija mguu wa kulia hawezi kucheza kabisa.
Wewe sio mutu ya boli mjuukuu wanguMSIMU HUU HATUMUACHI MCHEZAJI YOYOTE YULE, MUTALE HAENDI KOKOTE IS THERE TO STAY AGELESS, THANK YOU.
Mmmh wewe sio mutu ya boli mzee mwenzangu, yule kipa mali kweliMousa camara yule kipa nae hatumtaki anatema sana mipira........
Nawazingua tu utopwinyo,hawana raha timu inaanza kujitengenezaMmmh wewe sio mutu ya boli mzee mwenzangu, yule kipa mali kweli
tunataka magoli ingia wewe ukaoteeAteba anafunga mabao ya kuotea tu!
Kijilii ni baiskeli iliyokatika brekiMutale ana tatizo kama la bodaboda, bodaboda asiye na akili, mbio mbio kila dakika. Ni kama mpira unamkokota yeye badala ya yeye kuucontrol. Anachosaidia ni kuchezewa rafu, sababu ya kukimbia kimbia na kutaka kupenya hata pasipohitajika kupenya anajikuta kamvaa adui refa anaona kachezewa rafu Simba inanufaika.
Kibu bado ana tatizo lile lile la mwaka jana ila ni msaada bado kwa Simba, anahitaji utulivu wa akili zaidi ila si wa kuachwa. Halafu ni kama tukio la kufeli majaribio huko nje bado halijamuacha.