Toeni Hati kwa Mo Dewj...vinginevyo rudisheni timu kwa mmiliki halali Ndg. KilomoniNimefuatila huyu straiker was South Africa anaeletwa na Simba kiukweli takwimu zake haziridhishi japokuwa Ni kinda want miaka 22
Huyu anaitwa Ryan Moon Ni straiker Kaizer Chiefs msimu uliopita ambapo Kaizer chips walikuwa na msimu mbaya zaidi kwenye historia ya Ligi ya South Africa alicheza mechi 13 hakufanikiwa kufunga Wala ku assist
Huyu kijana ana goli 5 tu timu zote alizipitia na tangu aanze soka la ushindani.
Ni free Agent na ametangaza kuondoka South Africa , huyu dogo hawezi kuisaidia Simba sio ndani Wala nje
View attachment 1131608View attachment 1131609View attachment 1131610
Acha wazipige tu!Hahahanaona wapigaji wanataka kula pesa sa Mo
Narudia kabidhini Hati kwa Mo.Mi nashangaa tunakwama vipi kumchukua bwalya mpaka tunaanza angaika na vya bure.
Kwa mafanikio aliyopata simba msimu ulioisha ingebidi tuanze kuchukua wa chezaji wa leval hizi ili kuanza Ku compete vizuri na timu kubwa.Bwalya milioni 800 mzee sio pesa ndogo hiyo
Iyo pesa Ni ngumu kurudi kwa mataduni za watanzania hasa kwenye kuuza jezi hatuna utamaduni kununua jezi OGKwa mafanikio aliyopata simba msimu ulioisha ingebidi tuanze kuchukua wa chezaji wa leval hizi ili kuanza Ku compete vizuri na timu kubwa.
Hofu yangu Hawa kina kagere, boko wanaweza waka flop msimu huu tukaanza angaika pata sttaikerz za maana
Alafu iyo pesa kwa sasa inaweza ikarudi pitia jezi na viingilio vya uwanjani vya mwezi mmoja. Sema ndo ivo naona watu wana mislead huyu minazi muhindi
Ngoja tumsubirie uyu mkaizer chief labda anaweza zaliwa upya kama ilivyokuwa kwa moo salah alivyotoka Roma kuja LiverpoolIyo pesa Ni ngumu kurudi kwa mataduni za watanzania hasa kwenye kuuza jezi hatuna utamaduni kununua jezi OG
Huyo ni Pacha wa Serunkuma na Papa Nd'iewHahahanaona wapigaji wanataka kula pesa sa Mo