ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Ndo maana shirikisho ni mashindano madogo yaani hakuna bingwa wa nchi yoyote anayecheza haya mashindano ya kitoto
Leo nimetazama mchezo wa Simba dhidi ya Stellenbosch, ni kituko tu ni kama ndondo au mashindano ya Watoto wa shule
Simba inacheza kama haina coach? Timu haijui ikabe vip, ishambulie vip yaani ipo ipo ikitegemea dead balls
Referee kawabeba Simba alikuwa mkali Kwa wapinzani
Yaani ni kama mwamzi aliamua kuwakaba au kuwashika miguu Stellenbosch
Soma Pia: FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025
Timu ya Simba ni ndogo mno coach alijiuliza akitoka Ahoua angeingia nani kama mbadala
Leo Simba wamepata majeruhi ya Chamou ambaye alikuwa mbadala wa Che maloni na Ahoua nae ameumia, watakosa mchezo wa marudiano,
Hapo tungoje hiyo mechi wacheze akina Chasambi na Husein Kazi😀😃😂
Nawashauri Simba mkimbie mechi ya marudiano
Leo nimetazama mchezo wa Simba dhidi ya Stellenbosch, ni kituko tu ni kama ndondo au mashindano ya Watoto wa shule
Simba inacheza kama haina coach? Timu haijui ikabe vip, ishambulie vip yaani ipo ipo ikitegemea dead balls
Referee kawabeba Simba alikuwa mkali Kwa wapinzani
Yaani ni kama mwamzi aliamua kuwakaba au kuwashika miguu Stellenbosch
Soma Pia: FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025
Timu ya Simba ni ndogo mno coach alijiuliza akitoka Ahoua angeingia nani kama mbadala
Leo Simba wamepata majeruhi ya Chamou ambaye alikuwa mbadala wa Che maloni na Ahoua nae ameumia, watakosa mchezo wa marudiano,
Hapo tungoje hiyo mechi wacheze akina Chasambi na Husein Kazi😀😃😂
Nawashauri Simba mkimbie mechi ya marudiano


