Huku ni kudhalilishana, ndio maana mimi hata sikuomba hiyo kazi, ni upuuzi mtupu, mtu na elimu yako, hata kama ni ngazi ya certificate, unakuwa mtumwa wa shilingi lakii tatu? Ndiyo maana kwenye mgomo wengine mlitusaliti ili tu mpate sensa? Ushenzi sana huu na kwa mtindo huu walimu wengi mtakufa maskini kwa kusubiri vijisenti vya uchaguzi na sensa. Mi niko zangu shamba napiga work kama kawa. Kalaga bhao....!!!!!