Inkotanyi 94
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,244
- 4,030
wataalam wa humu ndo breki. hiv sim ikijilock baada ya kukosea pattern unlock na ikakudai gmail usiyokumbuka unaifunguaje?
wataalam wa humu ndo breki. hiv sim ikijilock baada ya kukosea pattern unlock na ikakudai gmail usiyokumbuka unaifunguaje?
wataalam wa humu ndo breki. hiv sim ikijilock baada ya kukosea pattern unlock na ikakudai gmail usiyokumbuka unaifunguaje?
njia rahisi hapo ni kuingia recovery na kuwipe user data .
ndg yangu umetumia technical language. nisaidie ufafanuz nini hiyo inafanyikaje.
nashkur sana kwa ushauri. nimepeleka wakaiflash ingawa nilihitaji njia mbadala ya kufanya mwenyewe