Silinde uko wapi?

Silinde uko wapi?

BAPUPEGHE

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
220
Reaction score
38
Nani mwenye taarifa za huyu Mh? Mbona jimboni hatumuoni? Ni kweli ameamua kuuza kura zetu kwa Magamba?
Tunaomba ufafanuzi juu ya hili maana kunatetesi kwamba baada ya Viongozi wa CDM mkoa kuanza Kumwandalia Mizengwe Sugu ili asigombee kwa hoja ya kutokisaidia chama na elimu yake, taarifa zina sema naye silinde huenda asigombanie nafasi yake kwa kuwa Sugu alikuwa mtu wake wa karibu. Mwenye taarifa tujuze.
 
Taarifa zako hazina ukweli na usiishi kwa speculation! Ulitaka aje akuage nyumbn kwako kwamba anafanya vikao vijijin?
 
Jamaa aliingia kwa kasi. Lakini sasa hasisiki kabisa hata bungeni kamezwa hata na mdee. Ni mwoga na kwa vile alisaidiwa na rostam fisadi wa ccm kwa hiyo kawekwa mfukoni. Huyo kapoteza fursa maana hana uwezekano wa kujinadibu maana kala fedha za mafisadi. Shame on him. Kama mi mwongo mbona vita ya ufisadi yeye hasisiki kabisa. Pole silinde japo tulikuamini lakini umetuangusha vijana. Kwa kheri mwaka 2015afadhali tuwape magamba
 
Hueleweki ulichoandika au ndio virider vya apo mpakani vinazingua kichwa
 
Back
Top Bottom