Mbowe?
Mshaurini Mbowe awe smart la sivyo mtaishia kuumizwa na matendo yake. Hata ungemtetea vipi humu JF, najua rohoni huridhishwi na mienendo yake.Hizi siasa nyepesi hazitawasaidia kitu, kama lengo ni kumwangamiza Mbowe mbinu ziko nyingi. Hizi za kutumia waathirika haziwezi kamwe kutikisa wenye akili.
Kumbe unaongelea mambo ya FB? Mimi siko FB!Mshaurini Mbowe awe smart la sivyo mtaishia kuumizwa na matendo yake. Hata ungemtetea vipi humu FB, najua rohoni huridhishwi na mienendo yake.
Huyo Silinde ni mpumbavu kama alivyo anayemtuma humo mjengoni.Chadema ebu tuambieni ukweli
Nini kilimtokea mbowe?
Itakuwa alilewa sana akawa anawaza jinsi Waitara alivyomuumbua juu ya mkopo hewa. Matokeo yake akateleza.Mbunge wa Chadema aliyehamia CCM David Silinde amesema yeye amekulia Chadema na anazijuwa propaganda na mbinu zote za chama hicho kinapotafuta huruma ya wapiga kura.
Mbowe ni msanii kama angevamiwa kweli majirani zake wangekuwa mashuhuda amesisitiza Silinde
Ndipo akasimama mbunge mwanamama ambaye ni jirani kabisa na wa Mbowe akadai siku hiyo alikuwa macho hadi saa 7 usiku na hakusikia chochote mlangoni kwa Mbowe.
Mbunge huyo amesema kwa kawaida Mbowe akiwa anakunywa na rafiki zake au kufanya party huwa anasikia kila kinachoendelea lakini usiku wa juzi palikuwa na utulivu kabisa bila tafrani yoyote.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Huyo Silinde ni mpumbavu kama alivyo anayemtuma humo mjengoni.
Haya ni matamshi ya Muroto kabla bunge halijaingilia mchakato
View attachment 1474500
Ni noma kwa sababu ni uongo wa kimataifa mtu aanguke kwa sababu ya ulevi alafu asiumie eneo lolote kuanzia kiunoni kwenda juu mfano mkono au kichwaDrama za mbowe noma
Upuuzi mtupu Mboe akwepe takukuru kwa story za waliofukuzwaKuna mdau kasema Inawezekana Mbowe anakwepa mkono wa Takukuru kwa zili 8bilion alizopiga
Kwani huyo mama ndo kampiga? Ukiwa jirani na Mbowe akiumia unaulizwa jirani?Kamanda Muroto aanze na huyu mama katika ile wanaita "kuisaidia polisi"