Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,867
Kumbe China ndo walitushtua kwamba kuna kondena lipo bandarini Darisalama limejaa pembe za ndovu? Asante sana Membe. Maafisa wetu wa jeshi la polisi walikuwa bize kupiga picha pembeni ya kontena hilo, as if intelijensia yao ndio iliyofanya kazi
Hv nani kakwambia habari zipo kwny mitandao tu!so hv vi2 wabunge hawatakiwi kuhoji kwasababu hawaja2mwa na wananchi,akili za ccm ni tatizo
Watu kama nyie siku zenu zinahesabika, I wish ningekuwa na AK47 nikutoe utumbo tuu..aarghh
Yaani mbunge mzima anahoji habari aliyosoma kwenye mitandao na magazeti? Hivi ina maana hakwenda na hoja za wananchi wake toka jimboni mwake waliomtuma bungeni? Kuna wabunge si wawakilishi wa watu waliowapigia kura.Shilinde ni mmoja wao kaamua kuwa mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti.
Naomba Shilinde akinyoosha mkono kutaka kuongea spika awe anamwambia haya sasa ni zamu ya mwakilishi wa mitandao ya kijamii na magazeti ongea!