Silaha yangu ina hitilafu, Ushauri unahitajika

Silaha yangu ina hitilafu, Ushauri unahitajika

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,714
Namiliki silaha ndogo ambayo imekuwa na mushkeli siwezi tena kuitumia na vipuri havipatikani. Nikihitaji kununua silaha mpya je nitatakiwa kufanya maombi upya ili nipatiwe leseni mpya ya umiliki?!
 
Silaha???? Fafanua kidogo... Sime, bunduki, bastola, mkuki, rungu, nyambizi, kifaru cha kivita, grenade.....??
 
Yes utahitajika kufanya maombi upya.
Kwenye zile form za maombi kwan si unakumbuka kuna kipengele kinachosema aina ya silaha, ukubwa wa mtutu na pia number ya silaha husika?
Pia kitabu chako cha umiliki wa silaha kinasema ni aina gani number yake nk, hivo kwa silaha mpya ni lazima uombe tena kama mwanzo.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
usichanganye watu, sema siraha gani kama hospitari uonyeshwe, kama polisi uende ukaelekezwe.
 
Haiwezi kuwa yako. . . .na kama yako hukutakiwa kuwa nayo kabisa!!!
 
Namiliki silaha ndogo ambayo imekuwa na mushkeli siwezi tena kuitumia na vipuri havipatikani. Nikihitaji kununua silaha mpya je nitatakiwa kufanya maombi upya ili nipatiwe leseni mpya ya umiliki?!

Nenda makao makuu ya chadema wananunua kwa ajiri ya RED BRIGADE
 
Nazungumzia Beretta 9.0 mm,16 rounds.
 
Nenda mzinga pale upanga kuna weapon technicians wazuri tu watakutatulia shida yako.
 
Back
Top Bottom