Sikuwahi kujua kazi halisi ya Mkuu wa Mkoa na uwezo wake

Wewe ni mmoja ya watanzania wajinga kabisa. Hujui abc za uongozi na wala hujui ni kwa nini serikali ina mihimili na vyombo mbali mbali vya utekelezaji. Waziri utahuhumia mtu mmoja mmoja kwenye nchi yenye watu milioni 60 utamaliza lini wakati migogoro inazaliwa kila siku.?
Vyombo vya utekelezaji kama vingekuwa vinafanya kazi yake tusingeona madudu yote hayo, kwa kifupi kiongozi anapojitolea kupambania haki za wanyonge tusimvunje moyo, kaamua mwenyewe hakulazimishwa na raisi, wewe huoni wangapi wanapata haki zao kutokana na Makonda huyu huyu!!
 
Makonda na Jerry Slaa hawa ni viongozi wanaomsaidia Rais kwa vitendo na hicho ndicho watanzania tunakitaka sababu Rais hawezi kuwa kila mahali, niwazi kabisa kama kila kiongozi angefanya kazi kama hawa wawili hakika watanzania wengi wangejivunia nchi yao. Uwezo wa kutatua kero wa hawa viongozi wawili ni wahali ya juu na inaonesha dhahiri kuna tatizo kwenye mihimili mingine hasa mahakama hivyo ni vyema viongozi wengine wakaiga style ya hawa wenzao wawili hii ni style ya kizazi kipya au JPM style. Dhulma imezidi katika nchi na wadhulumati insonesha wameteka baadhi ya viongozi wa serikali na baadhi ya watendaji wa mahakama.
 
Habari zenu bwana!.

Kifupi Mimi liwagu sikuwahi kujua kazi halisi ya mkuu wa mkoa na kwa mtazamo wangu sikuona haja sana ya kuwa na wakuu wa mkoa.

Lakini kwajinsi ninavyomuona mkuu wa mkoa wa Arusha P. C. Makonda anavyofanya kazi ya utumishi katika mazingira ambayo anaonyesha nguvu ya mkuu wa mkoa ilivyo katika kutumikia wananchi kwenye mkoa wake,inaanza kuleta maana.

Nijambo jema kuwa na rais anae penda watendaji wa aina ya Jeri Slaa, na Makonda.

Kuanzia maofisini mpaka mitaani, wabongo wasipo nyooshwa hawanyooki wenyewe.
Nimwendo wa dhuluma, wizi, ufisadi na dharau!.

Wakuu wa mikoa wengine vuteni soksi.

Actions speak louder than words.
Wewe ni mpambe wa Makonda.
Soon atatumbuliwa.
 
Back
Top Bottom