Sikutegemea lakini ndio imetokea, Nifanyeje?

Sikutegemea lakini ndio imetokea, Nifanyeje?

lukubuzo Samsis

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2014
Posts
2,947
Reaction score
3,457
Si muda mrefu tokea tufunge chuo kwa kumaliza semester ya kwanza,natoka zangu hostel narejea kitaa kupunguza uchovu wa kudesa.

Ile kufika home kuna mpangaji mpya kahamia,kumcheki mzuri na uzuri depend on ur own perception.Jioni nimetoka zangu maskani nimekaa home kibarazani,yule demu akapita naona kama anatingisha tako flan hivi,kwel Mungu kamjalia Mashallah.

Akageuka nyuma akakutana na mimi namkodolea macho,nikajisemea moyoni kumbe alikuwa anatafuta attention!

Mdada huyo karudi kutoka dukani akanikuta pale pale,akaniongelesha...

Yeye; Mbona umekaa nje peke yako?
Mimi: Sio mbaya kama tutakuja kukaaa wote unipe kampani,anarushà macho kutazama kama kuna mtu karibu,
Yeye; mmhhhh,mimi sema naogopa,
Mim: Unaogopa nn tena??, si watu jamani!!Kuna kitu alitaka kuniambia,kuna mpangaji akatokea,yule dada/dem huyo akajiondokea zake
mim nikaapa lazima nchukue tarakimu zake nifanye yangu.

Kesho yake titfotat nakutana nae anatoka kuoga,nikaomba # àkanipa bt yà voda,nikaifikiria kumpigia nikasema anyway ntamtext,maana voda yenyewe niliivunja hostel walivyoleta masuala yao ya mb8.

Usiku wakati wa kulala nikamtixt,akarespond fresh.

Asubuhi kama kawa goodmorning za kutosha;

Mim: Za asubuhi uko poa?... Hajanijib,nikasema khaaaaaa!!!!
Mim: Vipi umelala?.. ikapita kimya fulani hivi akajibu
Yeye; nimelàla sijikii poa!
Mim: nini tatzo tena?
Yeye: nàsikia kuumwa,kichwa na mwili mzima
Mim:umekunywa dawa???
Yeye: bado
Mim: pole sana jirani
Yeye: asante
Mim: naweza kuja kukuona???
Yeye: ntakwambia nikiamka
Mim: bas sawa

Ikapita kimya kama saa moja na nusu,nikaona text inaingia,kucheki jina jirani kama nilivyomsave nilivyochukua # zake
Yeye: uko wap?
Mim: niko ndani

Nikawa nawaza akiniambie niend na nikimkuta kakaa kihasarahasara namkazia mpaka anipe mzigo

Yeye: kuna kitu nataka uje unirekebishie
Mim: poa

Kuingia ndani nakuta mdada kajiachia kwenye sofa kapiga kanga nyepesi huku katupia sidiria,titi naliona lile limedisa
nikawa nawaza,jamaa yako vipi nikamwambie mchizi wako yuko wap?

Yeye; Anakaa sana,huamini ngoja nimpigie simu uone ,jàmaa akajibu now ndo najiandaa kuvuka boda
Yeye: akaniambia umesikia?
Mimi: kidogo ndio umenitoa uoga

Tukaendelea kucheki muvi pale nikaona kikanga kinapeperushwa na upepo paja jeupeeeeeeee!!!abdala kichwa wazi akasimama.

Nilikuwa nachat simu nikaiweka pembeni,nikamshika mkono nikaanza kuchezea kucha zake ndefu mara romance,piga utundu mwingine mpaka kwa bibi nikajilia vyangu.

Baadae xx amri ya sita ishàvunjwa ,eti unajua mimi mke wa mtu?

Mimi: nikamwambia najua
Yeye: je bwana wañgu akijua,
Mim: hawez kujua labda uwe umetaka kumwambia,kuz mimi,sikupigii simu mpaka unipigie,sikutext mpaka unitext,na txt zenyewe unafuta,xx hapo atajuaje?

Yeye: ok

XX tatzo now ananionea wivu hataree juzi kati demu wangu katoka Mzumbe chuo karudi likizo nimemtia home yule demu kaniona ananinunià kishenzi,et oohhh unanidharau unaniletea wanachuo wako.

Eti nimfanye nini huyu mdada wakati mimi sikupanga kuwa nae na ukizingatia yuko na mchizi wake?

Nimeapa,sipige tena wake za watu kuz ving'ang'anizi kama ruba!!!!

Nawasilisha.

N:B Stori ya kufikirika haina uhusiano na mwandishi!
 
hahaaa wavulana akishalamba mambo mingiiii...ungekuwa hujalamba bdo ungemficha huyo dem asimuone
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Mzee hebu tupia picha la hilo lishangazi kwanza, ili nijue natoa ushauri wa aina gani
 
kama mwalimu wako ndiye aliyekufundisha kuandika hivyo wote ni mazuzu tena baba ako kala hasara
 
si muda mrefu tokea tufunge chuo kwa kumaliza semester ya kwanza,natoka zangu hostel narejea kitaa kupunguza uchovu wa kudesa.
ile kufika hom kuna mpangaji mpya kahamia,kumchek mzuri n uzur depend on ur own perception
jion nimetoka zangu maskani nimekaa hom kibarazani,yule dem akapita naona km anatingisha tako flan hiv,
kwel mungu kamjalia,mashallah
akageuka nyuma akakutana na mm namkodolea macho,nikajisemea moyon kumbe alikuwa anatafuta attention!!!
mdada huyo karud kutoka dukan akanikuta pale pale,akaniongelesha
yeye; mbona umekaa nje peke yako???
mimi: co mbaya km tutakuja kukaaa wote unipe kampan,anarushà macho kutazama km kuna mtu karibu,
yeye; mmhhhh,mm xema naogopa,
mim:unaogopa nn tena??, si watu jamani!!
kuna kitu alitak kuniambia,kuna mpangaji akatokea,
yule dada/dem huyo akajiondokea zake
mim nikaapa lazma nchukue tarakim zake nifany yangj
kesho yake titfotat nakutana nae anatok kuoga,nikaomba # àkanipa bt yà voda,nikaifikiria kumpigia nikasem any way ntamtxt,kuz voda yenyw niliivunja hostel walivyoleta masual yao ya mb8
ucku wakat wa kulala nikamtxt,akarespond fresh
asubuhi km kaw goodmorning za kutosha;
mim:za asubuhi uko poa???
hajanijib,nikasema khaaaaaa!!!!
mim: vp umelala?,;ikapta kimya fulani hv akajib
yeye; nimelàla cjikii poa!
mim: nin tatzo tena?
yeye: nàcjkia kuumwa,kichwa n mwili mzima
mim:umekunywa dawa???
yeye: bado
mim: pole sana jirani
yeye: asante
mim: naweza kuja kukuona???
yeye: ntakwambia nikiamka
mim: bas saw
ikapita kimya km saa moja na nusu,nikaona txt inaingia,kuchek jina jirani km nilivyomsav nilivyochukua # zake
yeye: uko wap???
mim: niko ndani
nikawa nawaza akiniambie niend na nikimkuta kakaa kihasarahasara namkazia mpka anipe mzigo
yeye: kuna kitu natak uje unirekebishie
mim: poa
kuingia ndan nakuta mdada kajiachia kweny sofa kapga kanga nyepec huk katupia sidiria,titi nalion lile limedisa
nikawa nawaza,jamaa yak vip nikamwambie mchiz wako yuko wap??
yey; anakaa sana,huamin ngoja nimpigie cm uone ,jàmaa akajib now ndo najiandaa kuvuka boda
yeye: akaniambia umesikia???
mim: kidogo ndo umenitoa uoga
tukaendelea kuchek muv pale nikaon kikanga kinapeperushwa na upepo paja jeupeeeeeeee!!!
abdala kichwa wazi akasimam
nilikuwa nachat cm nikaiweka pemben,nikamshika mkon nikaanza kuchezea kucha zake ndefu mara romanc,piga utundu mwingine mpka kw bib nikajilia vyangu
baadae xx amri ya sita ishàvunjwa ,et unajua mim mke wa mtu
mim: nikamwambia najua
yeye: je bwana wañgu akijua,
mim: hawez kujua labda uwe umetaka kumwambia,kuz mm,ckupigii cm mpk unipigie,ckutxt mpk unitxt,na txt zenyew unafuta,xx hapo atajuaje???
yeye: ok
xx tatzo nw ananione wivu hataree juz kat dem wangu katoka mzumbe chuo karud likizo nimemtia hom yule dem kaniona ananinunià kishez,et oohhh unanidharau unaniletea wanachuo wako

et nimfanye nin huyu mdada wakat mim ckupanga kuwa nae na ukizingatia yuko na mchiz wake???
nimeapa,cpig tena wake za watu kuz ving'ang'aniz km ruba!!!!

nawakilishaaaa!!!!!!
hongera mwanachuo usie kua na akili UMEPATA HIV
 
mkuu si uipeleke kule jukwaa la mapenzi
 
Nadhani sasa kuna haja ya vyuo kuanzisha "holiday's activities". Unakwenda likizo lakini unakua na kimodule cha hukohuko home, ukirudi unasubmit kazi yake, at least hawa vijana wawe busy! La sivyo tutakuwa tunatengeneza nguvu kazi "mfu". Lile kundi tegemezi linakua kwa kasi ya ajabu; tuna wazee, ninyi vijana mnangonoka hovyo mnatuongezea watoto na ngono zembe zenu zinawaua. Yaani kila activity yenu inalenga kuliongezea Taifa "age dependency ratio"
 
Back
Top Bottom