Sikuruhusiwa kukagua Daftari la Maslahi na Rasilimali la Paul Makonda

Sheria na kanuni ya Maadili ya viongozi wa Umma , inataja kiongozi wa Umma na Raia yeyote ana jukumu la kukagua mali ya kiongozi huyo wa umma .

Zitto au viongozi wa chama sio viongozi wa Umma kulingana na sheria za nchi . Ila Zitto Kabwe akiwa Mbunge aliwasilisha tamko la mali zake na wewe ni Shahid kwani kuna thread yake humu.

Kwa mujibu wa kanuni za maadili ya viongozi wa umma za Na.168 kifungu cha 6 na 7 kinanipa hayo mamlaka pamoja na masharti yake,mimi kama raia kukagua daftari la rasilimali na madeni.

Kifungu cha 6 (1)(a) kinasema " mtu huyo awe amemplelekea Kamishna malalamika dhidi ya kiongozi wa umma" ,nilipeleka malalamiko yangu tarehe 17/Oktoba /2019 yakiwa na hoja za kueleweka na ushahidi.

Nchi zingine taarifa za mali za mtumishi wa umma sio siri na wala sio lazima uombe yaani unapata na nchi zingine taarifa zipo mtandaoni . Hayo mambo unayo tetea kaka Mayalla ni kuchochea Ufisadi na upigaji , Uwazi ndio kila kitu katika mapambano ya Rushwa na ufisadi na wala sio suala la faragha sijui confidentiality , Usiri sio kwa mali zinazomilikiwa na mtumishi wa ummma kama hutaki kuweka wazi acha kazi ya utumishi wa umma.
 
Nondo ana kichwa kizima sana.makala nzuri sana ila imepoteza hamasa kisiasa kwasab imekuja too late.Laiti NONDO angekuwa jasiri wa kuanika makala hii hadharan wakati ule, Nondo angepata fans wengi mno.
I wrote niliandika mbona sema ! Ndio kile kipindi mambo yalikuwa mengi chuo , kesi Mahakamani .
 
Haya ndio majitu ambayo yalikua yanajiita mazalendo kwa kujificha kwenye kichaka cha baba yao, sasa ndio rangi zao halisi zinaanza kuonekana , waacheni waumbuke ndio maana hata mama inamuwia vigumu kumpa hata ujumbe wa nyumba kunmi kumi kwa jinsi anavyonuka Rushwa .
 
Hii ya leo ni marudio tuu , l wrote and l did kipindi Magufuli akiwa Rais na Kipindi Makonda akiwa Mkuu wa Mkoa na Gazeti likaandika front page ,
 
Makonda alikuwa juu ya sheria.... Alivamia Clouds lakini Waziri Nape ndio akapoteza kazi; hakuna jambo angefanywa wakati Jiwe yupo, swali ni je, bado anahiyo political cover? Au kaachwa aliwe na fisi?
Alishawahi kupitisha barabara kwenye shamba la bwana mallya huko kigamboni ati anawatetea wananchi ili achukue kupanda.
 
Kumbe P ni mbonge la Rapper
JF imekumbatia vipaji vya Watu sana.
Kiukweli sii wengi wananifahamu, kabla sijawa mtangazaji, nilikuwa DJ on the radio, na nilikuwa rapper.
moja ya versi zangu ni hii
"Do you wanna dance, you to turn on" X 3
If you wanna dance, you need to turn on, the EXTS of RTD, and this is P of RTD, rapping on a mic in a special way, when you wanna dance and feel alone, you just need to turn on the EXTS of RTD cause we are on the air.
P
 
huyu mtu anatakiwa ashitakiwe kama alivyofanyiwa sabaya tu. tena inasemekana mwanzoni alikuwa anashida arusha ili kumsaidia sabaya alipoona pamoto akaufyata.
 
Hongera mkuu kumbe upo na kipaji nyuma ya Taaluma.

Kuna watangazaji wengi kwa sasa wanaimba, sema labda umri umeenda kidogo tungependa kukuona majukwaani licha ya kuwa mtangazaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…